Papa
awahimiza Maaskofu; leeni hamu ya Utakatifu kwa mapadre na
Waumini
BABA Mtakatifu Yohane Paulo wa Pili, amependekeza vipaumbele kwa maaskofu wote ili
kupalilia hamu ya utakatifu miongoni mwa watu ulimwenguni pamoja na kusaidia
mapadre, hasa pale wanapokumbana na matatizo.
Baba Mtakatifu alitoa wito huo alipokutana na
maaskofu 120 kutoka nchi 33, waliokusanyika katika makazi yake ya Majira ya
Kiangazi ya
Maaskofu hao walikuwa wakihudhuria mkutano wa
siku 10 huko Roma ulioandaliwa ili kuwapa ushauri juu ya kutimiza majukumu
Taarifa ilisema kuwa kikao cha kwanza cha namna hiyo
kuandaliwa na Idara ya Maaskofu ya
Baba Mtakatifu alisema kuwa katika jamii ya leo iliyoshehenezwa na kutojali dini na wakati mwingine
kutawaliwa na uhasama, jukumu la kuwa askofu ni gumu
“Kazi ya msingi ya mchungaji ni kukuza hamu
“Kipaumbele kingine kwenu ni kuwa makini
kwa mapadre wenu, ambao ni washirika wenu wa karibu katika huduma yenu,”
aliongeza. “Huduma ya kiroho kwa padre ni
jukumu la msingi la kila Askofu wa jimbo.”
“Ishara aifanyayo Padre Siku ya Upadrisho; kuweka mikono yake katika
mikono ya askofu, kukiri mbele yake heshima ya kidugu na utii kwa mara ya
kwanza inaweza kuonekana
Alisema, “Padre kijana huchagua kujikabidhi kwa Askofu, na kwa upande
wake askofu hujitoa mwenyewe kuwatunza wale walio mikononi mwake.”
“Kwa njia hii askofu huwa na wajibu wa kujua majaliwa ya wale
ambao mikono yake huwakumbatia. Padre lazima aweze kuhisi, hasa katika nyakati
za tufani,na upweke, kwamba mikono yake imeshikiliwa
kikamilifu na Askofu,” alisema.
Aliongeza, “Kwa hiyo, ni lazima
mjitoe kikamilifu kukuza miito ya kweli ya kipadre, kwa sala, ushuhuda wa
maisha na uangalifu wa kichungaji.”
Hata hivyo, Baba Mtakatifu alikiri kwamba changamoto hii
inahitaji majitoleo makubwa katika ulimwengu ambao ni
tajiri wa njia za kiufundi, njia za vitu na faraja, lakini, unaoonekana maskini
“Mtu wa leo ambaye amepoteza hali ya
kujali tunu mara nyingi huchagua mambo yenye kikomo na kuhusiana na mambo
fulani. Katika mazingira haya ya kukosa
imani na uhasama, utume wa Askofu si rahisi,”
alisisitiza Papa.
Kuhusu uinjilishaji Baba Mtakatifu alisema, “Lazima
tusisalimu amri kwa ukosefu wa matumaini na kuvunjika moyo, kwa sababu Roho
huongoza Kanisa na hulipa kwa mpulizo wake moyo wa kujaribu kutafuta njia mpya
za uinjilishaji ili kuweza kufikia sehemu ambazo bado kufikiwa na Injili.”
Alisema, “Ukweli wa Kikristo ni wa
kuvutia na wenye kushawishi hasa kwa sababu unaweza kutia alama na mwelekeo
kwamba uwepo wa binadamu, ukitangaza katika njia wazi kwamba Kristo ndiye
Mwokozi wa watu.”
“Utangazaji huu
unaendelea kuwa wazi leo
Maaskofu hao walifanyia mkutano wao katika Regina Apostolorum Pontifical Athenaeum, Kituo cha Chuo Kikuu kinachoongozwa na Wanalejio wa Roma.
Marekani
kuishambulia
l Apendelea uamuzi utolewe na Umoja wa
Mataifa
MWADHAMA Kardinali Joseph Ratzinger haamini kwamba
mashambulizi ya Marekani peke yake dhidi ya
kwa mujibu wa Mkuu huyo wa Idara ya
”Ni lazima kwamba jumuiya ya
mataifa ifanye uamuzi, na si taifa tu lenye nguvu,”
alisema kardinali huyo baada ya kupokea tuzo ya '2002 Trieste Liberal Award'. Maoni yake hayo
yalichapishwa na gazeti la Italia la Avvenire.
"Ukweli
wa kwamba Umoja wa Mataifa unatafuta njia ya kuepusha vita, ni wazo la busara
kuna ushahidi wa kutosha kuwa uharibifu utakuwa mkubwa zaidi ya tunu zile
zinazotegemewa kuhifadhiwa, kwa njia hiyo ya vita.” alisema kardinali huyo.
Alisema
kuwa “Umoja wa Mataifa unaweza kushutumiwa” kutokana na hoja kadhaa, lakini pia
akasema “ni chombo kilichoundwa baada ya vita ili kuratibu, pamoja na mambo
mengine maadili ya siasa.”
Kardinali
Ratzinger aliongeza kusema ”dhana ya ‘vita vya kujilinda’ haitokei wala
kuonekana popote katika Katekisimu ya Kanisa Katoliki.”
”Huwezi
kusema tu kwamba katekisimu haihalalishi vita. Hata hivyo, ni kweli kwamba
katekisimu imetengeneza mafundisho ambayo, kwa upande mmoja hayatengi ukweli kuwa kuna tunu na watu
ambavyo ni lazima vilindwe katika hali Fulani; kwa upande mwingine katekisimu
inatoa mafundisho sahihi juu ya mipaka ya uwezekano huu.”
Kiongozi
huyo aliziomba dini tatu zinazotokana na
Abraham kutoa Amri Kumi kama njia za kuwavunja moyo magaidi.
”Amri
Kumi si mali binafsi ya Wakristo ama Wayahudi,” alisema Kardinali Ratzinger.
“Ni
maelezo makuu ya sababu za maadili, ambayo yanapatikana pia katika busara ya
tamaduni nyingine. Kurejea tena katika Amri Kumi inaweza kuwa muhimu ili
kurejesha sababu hizo.”
Na huko Florence, Italia, Msaidizi wa Vatican katika ofisi ya Umoja wa Mataifa
mjini Geneva aliwashauri wale wanaopinga mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iraq
kupendekeza suluhisho linalotekelezeka ili kulinda amani.
”Tunapendelea
mazungumzo lakini pia kuheshimu sheria ya kimataifa,” alisema Askofu Mkuu
Diarmuid Martin, msimamizi wa kudumu wa Vatican katika ofisi hizo za Umoja wa
Mataifa, wakati akihutubia mkutano wa jumuiya na makundi 60 ya kanisa.
”Sheria
inaruhusu utumiaji wa nguvu, lakini uamuzi wa kutumia nguvu unatolewa na Baraza
la Usalama la Umoja wa Mataifa pekee,” aliongeza.
Washiriki
katika mkutano huo walitangaza ilani ambayo ilibeba maudhui “Amani: Hali ya
Kanisa kwa ajili ya Maendeleo ya Dunia.”
Askofu
Mkuu Martin alisisitiza kuwa “uwajibikaji ni muhimu sana sasa zaidi ya wakati
wowote kabla.
Utumiaji
nguvu daima na kila wakati ni njia inayoonyesha kushindwa.”
Kiongozi
huyo pia alisema kuwa Umoja wa Mataifa “ni lazima usitumike kuendeleza maslahi
ya upande mmoja. Kuuzuia Umoja wa Mataifa kutimiza jukumu lake kungeleteleza
hatari kubwa kwa wote.”
Hata
hivyo, Askofu Mkuu Martin hakupendelea utafutaji utulivu kwa gharama yoyote
ile. “Katika nyakati hizi ngumu, wale wanaokataa matumizi ya nguvu ni lazima
wawajibike kutoa maelezo juu ya njia ambayo inaweza kutumika ili kuepusha
vita.”
Kwa namna ya pekee, aliwashauri Wakatoliki “kuchafua
viatu vyao” katika kukabiliana na matatizo hayo kwa pamoja na katika kushawishi
“serikali kuwekeza katika watu na kujitoa kikamilifu kwa chaguo pendelevu kwa
ajili ya kila mtu maskini.”
Alisema
kuwa katika vita dhidi ya ugaidi, ni lazima iwepo
“heshima kwa sheria za nchi na watu kuishi pamoja.”
Papa amtaka Sharon
kukomesha mzingiro dhidi ya Arafat
l Aeleza mshikamano wake na
BABA
Mtakatifu Yohane Paulo wa Pili ametoa wito kwa Waziri
Mkuu wa
Msemaji wa Vatican, Dk.
Joaquín Navarro-Valls aliripoti kuwa ujumbe huo ulitumwa kwa Waziri Mkuu wa
Israel na katibu wa nchi wa Vatican, Kardinali Angeli Sodano, kwa niaba ya Papa
na kusema kuwa papa pia alielezea mshikamano wake na Kiongozi wa Wapalestina.
“Kwa kuguswa na mashambulizi mabaya katika makao makuu ya Mamlaka ya
Utawala wa Ndani wa Palestina, Papa anaomba ukomeshaji wa matendo ya namna hii,
ambayo yanahatarisha jitihada za amani katika eneo
Baba Mtakatifu pia alitaka
“kurudiwa upya kwa haraka mazungumzo baina ya pande
hizo mbili katika njia ya kuheshimiana na maelewano.”
Msemaji wa
Kardinali Sodano alihakikisha
katika ujumbe wake kuwa “
Kwa miezi iliyopita Papa
Yohane Paulo wa Pili aligusia hali ya Mashariki ya
Kati katika mikutano yake mingi ya Jumatano na kabla ya kusali Sala ya
Malaika wa Bwana siku za Jumapili. Akitoa wito wa
kukomesha vurugu na kuanza upya mazungumzo.
Naye Askofu Mkuu Jean-Louis
Tauran, katibu wa
Kuhusina na
kulinda maeneo matakatifu na hasa
Alisema
kuwa kinyume chake
Maelezo
marefu ya msimamo wa
Jumanne
iliyopita, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
umepitisha azimio likiitaka
Papa apongeza Njia ya Neokatekumenato,
ataka ichunguzwe na Vatican
Baba
Mtakatifu Yohane Paulo wa Pili amepongeza hatua ya
hivi karibuni ya kuidhinishwa kwa sheria za njia ya Neokatekumenato na kuwaomba
viongozi wa kundi
Baba Mtakatifu aliyasema hayo
wakati alipokutana na waanzilishi, makatekista na
mapadre wa Neokatekumenato.
Alisema kuwa
hatua ya
Alisema kuwa sheria hizo ni
msaada muhimu kwa maaskofu wa majimbo mahalia na hoja rejea za msingi kwa
mchakato wa malezi wa kundi hilo kufanyika sawasawa na mafundisho pamoja na
nidhamu ya Kanisa.
“Sasa ni
juu ya ofisi husika za