Vatican
yaionya Marekani
l Kuipiga
l 'Huwezi kuupinga uovu kwa ovu jingine'
l Maamuzi ya Umoja wa Mataifa yazingatie tunu ya uhai
Askofu Mkuu Jean Louis Tauran, ambaye ni Katibu wa
Uhusiano wa
Katika mahojiano yaliyofanywa ofisini kwake na
gazeti moja la Italia liitwalo
“Avvenire” amesema msimamo wa
Aliongeza kuwa “Iwapo jumuiya ya kimataifa,
ikivuviwa na sheria za kimataifa pamoja na maazimio ya Baraza la Usalama la
Umoja wa Mataifa ingefikiria kuwa matumizi ya nguvu ni njia nzuri, hili
lingefanyiwa uamuzi kwa kufuata muundo wa Umoja wa Mataifa baada ya kupima
vizuri matokeo ya njia hiyo kwa mamilioni ya Wairaq wasio na hatia, madhara kwa
nchi jirani pamoja na utulivu wa dunia nzima.”
Uzoefu wa vita vilivyotokea
huko Afughanistan hivi karibuni na hata huko
Kulingana na taarifa za shirika la Uingereza “Voice in the
wildernes”(sauti ya nyikani) linalotoa misaada ya kibinadamu huko
Msemaji wa Shirika hilo Bwana
Von Sponeck katika taarifa hiyo anasema vita na vikwazo vya Uchumi ilivyowekewa
Iraq vimekuwa na madhara makubwa kwa watu wa kawaida wa Iraq sasa na kwa vizazi
vingi vijavyo. Watoto wengi hawana
nafasi ya kupata elimu, maji
Akitoa mfano mmoja tu wa
shambulizi la kujikinga lililofanywa na ndege za majeshi ya Marekani, katika
mji wa Basra, tarehe 25 Januari 99, shambulizi hilo liliuwa raia 17, kujeruhi
watu mia moja, kuharibu nyumba za makazi ya watu 45 na kuharibu njia za
usambazaji maji safi na taka katika mji huo hivyo kusababisha mfumuko wa
magonjwa yaliyopelekea mlolongo wa vifo vingine zaidi.
Aidha maelfu ya akina mama ni
wajane au wameachika kutokana na vita vya
Uchumi wa
Kuhusu mwaka mmoja baada ya
mashambulizi ya kigaidi hapo septemba
11 mwaka jana, Askofu mkuu huyo alisema “tendo
Aidha alisema kuwa “mkutano wa
Assizi uliofanyika Januari 24 pamoja na
mkutano juu ya ‘Watu na Dini’ uliofanyika Palermo-Italia, imesisitiza kwamba
dini haiwezi kuhalalisha ugaidi na kwamba waamini wote wanao wajibu wa pamoja
wa kuondosha chuki.”
Kuhusu kupatikana kwa amani ya
kudumu katika eneo zima la Mashariki ya Kati, alisema kwamba “kwanza kabisa
wote waweke silaha chini na kuheshimu jitihada za kila mmoja, kila mmoja ajali
sheria za kimataifa, maeneo yanayokaliwa yahamwe, sheria ya kimataifa itumike
kulinda maeneo matakatifu kwa dini kuu tatu za Ukristo, Uyahudi na Uislamu.”
Alisema kuwa baada ya hayo
kufanyika “jamii ya kimataifa iwepo zaidi katika eneo
Alisema kuwa maneno ya Baba
Mtakatifu Yohane Paulo wa Pili kulaani ugaidi yamesaidia watu kuelewa kuwa
teolojia ya ugaidi kamwe haiwezi kuwepo na kwamba makundi yenye itikadi kali
yanayopata uvuvio kwenye Uislamu yasichanganywe na Waislamu
Alisema kuwa viongozi wote wa
dunia waliotembelea
Kuhusu mabadiliko yaliyofanywa
juu ya uhusiano kati ya Vatican na ulimwengu
wa kiislamu , alisema “nadhani ni
wazi kwa kila mtu kwamba kupinga ugaidi haimaanishi kupinga Uislamu … Papa na
wasaidizi wake wamelisisitiza hili kwa mara kadhaa.”
Akichambua matokeo ya vita
dhidi ya ugaidi katika mwaka huu wote alisema “kitu cha muhimu ni kwamba hakuna
kiongozi yeyote wa kisiasa anayestahili cheo hicho au kiongozi wa dini
anayeweza kuhalalisha ugaidi mahali popote ulimwengu … ni lazima tuadhibu
wakosaji na kuhakikisha kwamba hawasababishi maafa zaidi.”
Hata hivyo alisema “ni lazima
tuwe makini ili tusichanganye haki na kisasi na kuepuka kuwahusisha watu wote
wa mahali fulani kuwajibishwa kwa ajili ya ukatili wa wale waliofanya
mashambulizi.”
Makamu wa rais wa Marekani Bwana Dick Chenny katika hotuba yake
kuadhimisha mwaka mmoja wa shambulio la kighaidi huko
Aliyepewa vipandikizi kuzuia mimba akumbwa
na maafa
l Ataota nywele hadi kwenye paji la uso
l Alizaa mtoto
njiti, mlemavu; adai fidia ya Dola Milioni
120
MISSISSIPI
MWANAMKE
mmoja aliyewekewa vipandikizi ili kuzuia mimba, anaishitaki kampuni iliyompa
vidhibiti mimba hivyo kwa kuwa vimemsababishia madhara na uwezekano wa kuzaa
mtoto mlemavu, huku mwenyewe akikabiliwa na madhara mbalimbali yakiwamo
uwezekano wa kuota nywele kwenye paji la uso na kutoka damu mfululizo.
Kwa
mujibu wa habari zilizochapishwa katika Jarida la ‘Population Research
Institute’, toleo la Juni 18, mwaka huu, mhanga huyo wa vipandikizi
anazishitaki Kampuni za kutengeneza dawa za Wyeth Pharmacenticals,
OBGYN, zilizompa vidhibiti mimba hivyo hatari na kumweleza kuwa
madhara aliyoyapata hayakutokana na vipandikizi alivyowekewa.
Habari
zinasema baadhi ya wahanga katika kesi hiyo, wanaowakilishwa na Mawakili James
D. Bell na Johnny Davis, wanadai kesi hiyo iamuliwe na jopo la majaji na pia,
walipwe fidia ya Dola za Kimarekani 120.
Mwaka
1999, Wyeth ililipa Dola Milioni 54 kwa wahanga 36,000 wa vipandikizi.
Kesi hii inaonesha kuwa kutokana na madhara bayana
yaliyosababishwa na vipandikizi alivyowekewa mwanamke huyo mwaka 1993,
amedhurika na ataendelea kudhurika ikiwa ni pamoja na kupata maumivu ya kichwa
na kuongezeka uzito kwa kiasi kikubwa.
Madhara
mengine yanayomkabili mwanamke huyo, ni kuota nywele hadi katika paji la uso,
kifua na tumboni, kutoka damu mfululizo, kutoona vizuri, uharibifu wa moyo na
homa za mara kwa mara.
Aidha, habari hizo zinasema, vipandikizi hivyo
vimemsababishia ulemavu na madhara mengine ya kiakili na kimwili.
Pamoja
na hayo, habari zinasema vipandikizi hivyo vimemsababishia mama huyo mateso
makubwa, kutumia gharama kubwa za matibabu, kupoteza uwezo wa kuishi maisha
yenye furaha, kutofanya kazi kwa ufanisi na kupungua umri wa kuishi.
Aidha, amepoteza nafasi yake ya mapato na uwezo wa
kufanya kazi ya kumwingizia kipato.
Washitakiwa
hao Wyeth na Yazoo City Medical Clinic, wanadaiwa kufahamu kuwa vipandikizi
vinasababisha madhara kwa watumiaji, lakini hazikueleza ukweli kuwa vinadhuru
mwili na kuathiri vibaya chembechembe hai za mwenendo wa damu ya wanawake
wanaovitumia na kusababisha sumu.
Kwa
mujibu wa Jarida
Habari zaidi zilisema Wyeth walishindwa
kuwaeleza mawakala wao hali na mazingira ya wazi kuwa matumizi za vipandikizi
yanaleta hatari ya kunenepa
“Mashitaka
yanaeleza kuwa mwanamke huyo alimwendea mganga aliyemweka vipandikizi hivyo
katika kliniki ya
Katika
kipindi chote cha kuficha kwa makusudi hatari za vipandikizi, Wyeth iliendelea
kuchuma faida kubwa kutokana na mauzo ya dawa hiyo.
Kesi
inayataja mashitaka saba yakiwemo ya kutenda kosa kwa makusudi, udanganyifu wa
taarifa, kusababisha madhara, kukataa kutoa fidia baada ya madhara kutokea,
kukiuka kanuni zinazolinda wateja, uzembe, kupuuzia na kumshawishi mteja
kutumia dawa bila kuwa na ufahamu wa kutosha.
Hata
hivyo, bado vipandikizi vipo kwenye orodha ya Bodi ya Chakula na Dawa ya
Marekani (FDA) licha ya kampeni za Shirika la “Population Research
Institute” kutaka dawa hiyo isitishwe na kuondolewa katika soko.
Vipandikizi
bado vinatengenezwa Ulaya kwa ajili ya kusambaza katika nchi maskini
(zinazoendelea). Dawa hiyo inatengenezwa na Leiras International
Findland.
Kumekuwa
na malalamiko toka kwa watumiaji mbalimbali wa vizuia mimba
Hali
hii ya kutokusema ukweli, imewafanya watumiaji wengi kuathirika kiafya na
kisaikolojia.
Nini
kilimsibu Askofu Mkuu Milingo hadi akafunga 'ndoa'?
ALIYEKUWA Askofu
Mkuu wa Jimbo Kuu la Lusaka nchini Zambia Mhashamu Askofu Emmanuel Milingo
amesema kwamba alikuwa mhanga wa njama
za madhehebu ya Sun Myung Moon yaliyoandaa ndoa yake na mwanamke wa Kikorea, Maria
Sung.
“Kwa njia yoyote sikuwa mimi niliyemtafuta Mchungaji
Moon. Walikuwa ni wafuasi wake waliofanya hivyo,” anasema Askofu huyo katika
kitabu cha historia ya maisha yake
ambacho kitachapishwa na 'Edizioni Paolini'.
Askofu mkuu huyo anasema kwamba alikuwa ni mhanga wa
ushawishi. “Baadaye nilitambua kuwa nilikuwa nimeangukia mtegoni,” anaandika
Askofu Mkuu huyo.
Aidha Askofu Milingo anathibitisha ripoti zilizozagaa
mwezi Mei 2001 kufuatia “ndoa” yake iliyoandaliwa na Shirikisho la Familia kwa
ajili ya Amani na Umoja wa Ulimwengu kuwa, walikuwa na nia ya kuonyesha uwepo
wao Barani Afrika kwa kuanzisha Kanisa Katoliki jingine sambamba na hili.
Kitabu hicho chenye kichwa cha maneno “Kuopolewa
kutoka kwenye Matope” kitachapishwa siku zijazo Italia, ambapo gazeti
la Avvenire tayari limechapisha .
Askofu Mkuu Milingo mwenye umri wa miaka 72 alifunga ndoa na Maria Sung mwenye miaka 43
katika ibada ya halaiki iliyoongozwa na Mchungaji Moon jijini
Madhehebu ya Moon yanasemekana kuwa yaliandaa ndoa
hiyo na kuitangaza
Katika mahojiano aliyoyafanya kutokea kwenye makazi
yake huko
Alisema kuwa ndiyo wakati huo ile hali yake ya
kuchanganyikiwa ilifikia kilele, kutokana na hali ya kutengwa aliyoionja ndani
ya Kanisa Katoliki.
Askofu Mkuu Milingo alihamishwa kutoka Jimbo Kuu la
Alisema kuwa wafuasi wa Moon walishurutisha ‘ndoa’
yake na akakubali. Alisema kuwa hata hivyo, hana hakika iwapo alipewa dawa
fulani au la.
Katika kuonyesha kwamba uamuzi wa kufunga ‘ndoa’
haukuwa wake alisema kuwa “Bado hakuelewa kwa nini alifanya uamuzi huo.”
Hata hivyo, hakuzungumzia kabisa kuhusiana na siku 72
alizoishi na Maria Sung, ila alisema tu kuwa wakati fulani alimwomba Mungu afe.
Alisema kuwa marafiki zake wawili wa Kiitaliano
walimsaidia
“Mkutano wetu ulikuwa mzuri,” anasema Askofu Mkuu,
“hakunituhumu kwa jambo lolote. Aliniambia tu kwa imani: "katika jina la
Kristo, rudi katika Kanisa Katoliki.”
Kufuatia dakika 20 alizokutana na Baba Mtakatifu,
anasema: “nilijisikia nyumbani
tena. Na wakati huo nilitambua makosa yangu.”
Baada ya hapo anasema alizungumza na Askofu Mkuu
Tarcisio Bertone, Katibu wa Shirika la Mafundisho ya Imani, na maofisa wengine
muhimu juu ya suala
Aliendelea kusema kuwa baada ya hapo alimtembelea tena
Baba Mtakatifu baada ya kumweleza Maria Sung kuhusu nia ya kuachana naye na
kurudi kwenye wito wake, na kwenda kwenye mafungo ya kiroho kwenye viunga vya
jiji la Roma na baadaye
Alisema,
“niliokolewa kwenye ukingo wa shimo la maangamizi.” Aidha anasema kuwa sasa
amegundua kuwa watu wengi walitoa sala na sadaka zao wakimwomba Mungu ili aweze
kurudi kanisani. hakujua
Vatican
yamteua Kardinali Pengo kuwa mjumbe Shirika la
Kipapa
BABA Mtakatifu Yohane Paulo wa Pili amemteua Askofu Mkuu wa jimbo Kuu la
Taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari ya
Baba Mtakatifu pia aliwateua maaskofu Henryk
Muszynski wa
Taarifa hiyo ilisema kuwa wajumbe hao watakuwa
wanawashauri wale wanaoliongoza shirika hilo na kukutana katika mkutano mkuu
kila baada ya miaka miwili.
Shirika hilo lilianzishwa mwaka 1542 na Baba
Mtakatifu Paulo wa Tatu likiwa na katiba
iliyojulikana
Kwa
mujibu wa katiba ya kitume ya Baba Mtakatifu “Pastor Bonus” ya mwaka 1988
“wajibu hasa wa Shirika la Mafundisho ya Imani ni kuendeleza na kulinda
mafundisho juu ya imani na maadili ya ulimwengu wa Kikatoliki: kwa sababu hii
kila kitu ambacho kinagusa masuala hayo yanaangukia ndani ya madaraka ya
shirika
Padre mwingine afukuzwa Urusi
MKURUGENZI wa
Ofisi ya Habari ya
Alisema kuwa “hili ni tendo baya
kabisa kwamba sasa kuna mazungumzo juu ya utesaji wa kweli.”
Aidha alisema kwamba mpaka sasa
Vatican haijapata maelezo yoyote rasmi juu ya sababu zilizopelekea kufukuzwa
huko. Kumekuwa na wimbi la kuwaondolea
hati za kuwawezesha kuishi nchini humo viongozi wa Kanisa Katoliki. Nchi ya
Urusi ina waumini wengi wa madhehebu ya Kiorthodoksi. Vatican itajaribu
kulitatua tatizo hili kwa njia ya kidiplomasia.”